Saturday, August 21, 2010

Gabriel azindua nembo yake!

Mbunifu wa mitindo Gabriel ole Mollel/Sakita amezindua Nembo yake itakayofahamika kama Sairim. Ulifanyika mjini Arusha katika hoteli ya Naura Spring Hotel
Mbali na uzinduzi huo, Gabriel alionyesha accessories zake mbalimbali pamoja na mavazi yake ya ubunifu.
Mengi kati ya mavazi yake hayo yametengenezwa kwa kutumia ngozi.
Cheki 'Pure leather outfits'





No comments:

Post a Comment