Saturday, March 10, 2012

Jamani siku ya wanawake kila mwanamke aliadhimisha kivyake...............

TWAA waliadhimisha kwa chai..... shuguli nzima ilikuwa Serena Hotel
Mkurugenzi wa TWAA Irine Kiwia akitoa mawili matatu tembelea www.8020fashion upate uhondo zaidi (juu).
8020fashions ikishirikiana na Bi Khadija Mwanamboka wao walisherehekea kwa kwenda kituo cha KIWOHEDE. Bi mkubwa Shamim akimaliza kazi aliyoianza miezi kadhaa iliyopita kwa kukabidhi vyerehani kwa vijana wa Kiwohede. Wanawake na maendeleo.......tusonge mbele..... Tembelea www.8020fashions.blogspot.com ujionee mwenyewe

No comments:

Post a Comment