Thursday, August 26, 2010

Uji wa maziwa na zabibu

Mahitaji


Unga wa ngano 1/2kg
Zabibu 1/2
Sukari 1/4kg
Maziwa point 1
Iliki kiasi
Arki kiasi

Namna ya kutengeneza

1) Loweka zabibu, zitwange iliki koroga unga katika maji.
2) Chemsha maji, yakiichemka mimina unga koroga huku unatia sukari, chukua zabibu uzifikiche.
3) Mimina maji ya zabibu katika uji koroga.
4) Tia maziwa, iliki Na arki. Acha ichemke ichemke Kwa muda mdogo na huku unakoroga.
5) Halafu epua na andaa.


No comments:

Post a Comment