Saturday, November 21, 2009

Vida Mahimbo, Kibiashara zaidi!











Ni mbunifu chipukizi, ambaye analenga biashara ya kimataifa. Pamoja na biashara ameazimia kuitangaza Tanzania kupitia kazi zake
Anatengeneza top za kike, suruali za Denim, mabwanga nguo za kuogele na nguo za ufukweni kwa ujumla n.k
Mwezi uliopita mbunifu huyu alifanya utambulisho wa mavazi na lebo yake, tukio ambalo lilihudhuliwa na wadau na wapenzi wa mitindo nchini na nje ya nchi.

1 comment: