Sunday, June 1, 2008

Mkate wa kukaanga


mahitaji


dengu zilizochemshwa - 250 gms vitunguu vya kukaanga - 25 gms hoho - 10 gms nyanya - 15 gms limao - 1 Tangawizi kijiko cha chai
Kitunguu saumu kijiko kimoja cha chai masala ya mchuzi – kijiko cha chakula Chaat masala – kijiko cha chakula mkate – silesi 3 slices mafuta ya kula ½ lita

Namna ya kuandaa


kata mkate katika vipande vyenye umbo unalopendelea changanya na juice ya limao na chumvi kiasi ,vikaange katika mafuta yaliyochemka .
vikaange hadi view na rangi ya hudhurungi halafu viopoe.
chukua sufuria kavu weka jikoni weka kijiko kimija cha mafuta kaanga vitunguu maji kisha weka tangawizi na vitunguu saumu.
changanya na nyanya huku ukiendelea kukaanda hadi viive
weka masala pamoja na dengu koroga hadi vichanganyike vizuri vikishachanganyika vizuri ipua
chukua nyanya moja ikate silesi pamoja na vitunguu maji kata katika la mduara umbo andaa

mkate wako katika sahani tayari kwa kuliwa.

No comments:

Post a Comment